Wakihamasishwa na maisha na mafundisho ya Bahá’u’lláh, mamilioni ya watu ulimwenguni kote wanaadhimisha miaka 200 ya kuzaliwa Kwake tarehe 21 na 22 Octoba 2017.

Baha’u’llah alizaliwa Tehran mnamo 1817. Karne mbili baadae, siku Yake ya kuzaliwa inasherehekewa dunia nzima pamoja na sherehe za mtangulizi wa Ufunuo Wake, Bab, aliyezaliwa mnamo 1819 siku moja kabla ya siku ya kuzaliwa kwa Baha’u’llah kulingana na kalenda iliyokuwa ikitumika Uajemi. Sikukuu hizi pacha za kuzaliwa zinadhimishwa na Wabaha’i na marafiki zao kama sherehe moja ya kila mwaka ambapo maisha yao na dhamira za Miangaza hii miwili ya Kitakatifu ambayo imefumwa pamoja hukumbukwa.


Makala Maalum


Matangazo Ya Matukio Kutoka Nyumba Kadhaa Za Ibada Za Kibahai

Ratiba ya Matangazo kama ilivyoandaliwa mwaka 2017

New Delhi, IndiaOCT 20|13:00 GMTplay-button
Apia, SamoaOCT 20|19:00 GMTplay-button
Sydney, AustraliaOCT 21|00:00 GMTplay-button
Kampala, UgandaOCT 22|07:30 GMTplay-button
Langenhain, GermanyOCT 22|11:30 GMTplay-button
Santiago, ChileOCT 22|18:00 GMTplay-button
Wilmette, United StatesOCT 22|02:30 GMTplay-button
Port Moresby, PNGOCT 22|02:30 GMTplay-button
Norte del Cauca, COLOCT 22 play-button

Vionjesho kutoka ulimwenguni kote vya siku mbili hizo za Miaka Mia Mbili

Dunia

Afrika

Marekani

Asia

Australasia

Ulaya

Singapore1/4

Paintings from Singapore

Suriname1/4

Kusherehekea Suriname

Guinea-Bissau

Sherehe Gabu, Guinea-Bissau

Senegal

Sherehe Dakar